VITU | MAMBO YANAYO CHANGIA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZIZO . SABABU ZINAZO SABABISHA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA | KUBEBA UJAUZITO | MIMBA Jinsia zote mbili zinaweza kuchangia Kushindwa kutunga kwa mimba Mwanamke anaweza akawa amewahi kuzaa / kubeba ujauzito awali au Hajawahi kubeba Ujauzito na ikawa shida kushika ujauzito kwa sababu kadha wa kadha ambazo zinaweza kutoka kwa mwanamke au mwanamme. MWANAMME ANAWEZA KUCHANGIA KIVIPI MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZITO • Matatizo yaTezi dume • Kutoa mbegu ambazo hazijakomaa • Kutoa Mbegu chini ya kiwango (idadi) • Upungufu wa nguvu za kiume • Tatizo la msongo wa mawazo,kukosa usingizi,Kusafiri kwa safari ndefu Mara kwa Mara • Kuzidisha Matumizi ya dawa • Upungufu wa damu kwa muda mrefu SABABU ZINAZOPELEKEA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZITO . • Maambukizi kwenye via vya uzazi • Uvimbe kwenye kwenye mirija ya uzazi • Mirija ya uzazi Kujaa maji • Kuwa mvurugiko wa homoni • Umri zaidi ya miaka 35 • Kuw...