Skip to main content

Posts

Showing posts from August, 2018

VITU | MAMBO YANAYO CHANGIA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZIZO

VITU | MAMBO YANAYO CHANGIA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZIZO . SABABU ZINAZO SABABISHA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA | KUBEBA UJAUZITO | MIMBA Jinsia zote mbili zinaweza kuchangia Kushindwa kutunga kwa mimba Mwanamke anaweza akawa amewahi kuzaa / kubeba ujauzito awali au Hajawahi kubeba Ujauzito na ikawa shida kushika ujauzito kwa sababu kadha wa kadha ambazo zinaweza kutoka kwa mwanamke au mwanamme. MWANAMME ANAWEZA KUCHANGIA KIVIPI MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZITO • Matatizo yaTezi dume • Kutoa mbegu ambazo hazijakomaa • Kutoa Mbegu chini ya kiwango (idadi) • Upungufu wa nguvu za kiume • Tatizo la msongo wa mawazo,kukosa usingizi,Kusafiri kwa safari ndefu Mara kwa Mara • Kuzidisha Matumizi ya dawa • Upungufu wa damu kwa muda mrefu SABABU ZINAZOPELEKEA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZITO . • Maambukizi kwenye via vya uzazi • Uvimbe kwenye kwenye mirija ya uzazi • Mirija ya uzazi Kujaa maji • Kuwa mvurugiko wa homoni • Umri zaidi ya miaka 35 • Kuw...

KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI KWA MWANAMKE

KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI Ni moja ya sababu inayopelekea mwanamke Kushindwa kubeba /kushika mimba. - Mirija ya Uzazi ina weza kuziba kwa sababu mbali mbali. - Kuziba kwa mirija ya uzazi ni moja ya sababu kubwa ya Ugumba kwa wanawake. SABABU ZINAZOWEZA PELEKEA MWANAMKE KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI NI... - Kuwa na Uvimbe ambao umeota kwenye mirija ya uzaziz - Kuwa na Ugonjwa wa maambukizi ya kizazi na Nyonga. - Kuwa na historia ya mimba kutunga nje ya kizazi. - Magonjwa ya zinaa na upasuaji wa tumbo au uvimbe kwenye ukuta wa uzazi. - Kuwa na maambukizi kwenye mirija yaliyo sababishwa na utoaji wa mimba, kupasuka kwa kidole tumbo. - Uzazi wa mpango (Lupu/Kitanzi) - Ajari iliyo husisha Tumbo. - Mirija kujaa maji. DALILI ZA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI - Maumivu wakati wa kujamiana /Tendo - Maumivu makali ya nyonga na Tumbo kwa chini. - Kupata hedhi matone ikiambatana na Maumivu makali/Kupata damu nyingi Wakati wa hedhi. - Maumivu makali wakati wa ...

MAAMBUKIZI YA FANGASI KIPINDI CHA UJAUZITO | KIFAHAMU CHANZO | CHANZO | DALILI | UCHUNGUZI | MATIBABU | NAMNA YA KUJIKINGA.

MAAMBUKIZI YA FANGASI KIPINDI CHA UJAUZITO | KIFAHAMU CHANZO | CHANZO   | DALILI    | UCHUNGUZI   | MATIBABU | NAMNA YA KUJIKINGA . FANGASI Ni maambukizi yanayoweza Jittokeza sehemu yoyote ya mwili. Kuna aina kadha wa kadha ya fangasi na majina hutegemea na sehemu ya mwili walipo. FANGASI WA UKENI - KIPINDI CHA UJAUZITO Hawa ni moja ya fangasi ambao husumbua na hujitokeza kwa Wajawazito au kipindi cha Ujauzito na hushambulia sehemu ya uke. Fangasi ambao hushambulia kipindi cha ujauzito wanajulikana kwa jina la candida albicans Kipindi cha Ujauzito kuna mabdiliko ya Homoni ambazo kupelekea kubadilika kwa uasidi na ualikali (PH) ya Uke, na kuruhusu fangasi kuota kirahisi. Kipindi cha ujauzito homoni aina ya estrojeni(estrogen) inakuwa nyingi kuliko zingine na kufanya mazingira rafiki kwa fangasi kuota. Kuna sababu kadha wa kadha ambazo zinapelekea mjamzito kupata fangasi Mara kwa Mara . CHANZO | SABABU • Matumizi ya Dawa aina ya ...

HATUA ZA UKUAJI WA MTOTO AKIWA TUMBONI

Je wewe ni mjamzito na unatamani kufahama Hatua ya ukuaji wa mtoto wako aliyeko tumboni ?? Hizi ndio Hatua za ukuaji wa mwanao akiwa tumboni. Hatua za ukuaji wa mtoto tumboni WIKI YA (1- 4). √  Yai la kike linarutubishwa na mbegu za kiume. √  Kijusi kinaanza kujitengeza (Umba) √  Mishipa ya damu,Tumbo,Ini, n.k vinatengenzwa WIKI YA (5 - 8). Viungo Muhimu vinatengenzwa na kukomaa √  Ubongo √  Moyo √  Uti wa Mgongo √  Macho,masikio,mdomo na pua. √  Miguu, mikono, vidole na kucha WIKI YA (9-12). √  Shingo huanza kujitengenza. √  Kope za macho hujitengeneza. √  Katika kipindi hiki mtoto anafikia urefu wa inchi 2.5 Kumb .... Uhitaji mwingi wa madini ya chuma kwa mtoto. WIKI YA (13-17). √  Miguu na mikono inakamilika √  Shingo inakamilika katika kipindi hiki. √  Mifupa inaanza kukomaa WIKI YA (18-22). √  Mtoto anaweza  Kusikia sauti za mama yake. √  Mtoto anaanza kucheza tumboni. ...

LISHE WAKATI WA UJAUZITO NA WAKATI WA KUNYONYESHA

LISHE WAKATI WA UJAUZITO NA WAKATI WA KUNYONYESHA. Kipindi chote cha Ujauzito na wakati wa kunyonyesha Mama anahitajika kupata chakula cha kutosha kwa ajili ya Kiumbe kilicho tumboni pamoja na mama mwenyewe. Mama anaye nyonyesha anahitaji mlo ulio sahihi kwa ajili ya kusaidia kupata maziwa ya kutosha kwa ajili ya mtoto na kukupa nguvu na virutubisho vyote muhimu mwilini. FAIDA ZA LISHE BORA • Husaidia kuongeza damu na kuzuia upungufu wa damu • Husaidia kuongeza uzito kulingana na umri wa mama na mtoto na kuzuia kupata Utapiamlo. • Huimalisha ukuaji wa mtoto kimwili na kiakili. • Husaidia kuzuia kupata mtoto mwenye uzito pungufu. • Humsaidia mama kuandaa  mwili na utengenezaji  wa maziwa ya kutosha wakati wa kunyonyesha. MAMBO YA KUZINGATIA. • Kabla ya kuweka chochote kinywani na baada ya kutumia choo nawa  mikono yako kwa maji safi na Salama na sabuni. • Anza kuhudhuria kliniki mapema baada ya kuhisi  ni mjamzito na mpeleke mtoto kliniki mapema kwa ajili y...