KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI
KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI Ni moja ya sababu inayopelekea mwanamke Kushindwa kubeba /kushika mimba.
- Mirija ya Uzazi ina weza kuziba kwa sababu mbali mbali.
- Kuziba kwa mirija ya uzazi ni moja ya sababu kubwa ya Ugumba kwa wanawake.
SABABU ZINAZOWEZA PELEKEA MWANAMKE KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI NI...
- Kuwa na Uvimbe ambao umeota kwenye mirija ya uzaziz
- Kuwa na Ugonjwa wa maambukizi ya kizazi na Nyonga.
- Kuwa na historia ya mimba kutunga nje ya kizazi.
- Magonjwa ya zinaa na upasuaji wa tumbo au uvimbe kwenye ukuta wa uzazi.
- Kuwa na maambukizi kwenye mirija yaliyo sababishwa na utoaji wa mimba, kupasuka kwa kidole tumbo.
- Uzazi wa mpango (Lupu/Kitanzi)
- Ajari iliyo husisha Tumbo.
- Mirija kujaa maji.
DALILI ZA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI
- Maumivu wakati wa kujamiana /Tendo
- Maumivu makali ya nyonga na Tumbo kwa chini.
- Kupata hedhi matone ikiambatana na Maumivu makali/Kupata damu nyingi Wakati wa hedhi.
- Maumivu makali wakati wa kukojoa
- Maumivu makali ya Mugongo kwa chini/Kiuno
- Kuchoka sana
VIPIMO | MATIBABU | NAMNA YA KUZUIA /KUJIKINGA
- Vipimo vinapatikana kwenye vituo vya Afya Baada ya uchunguzi na Maelezo.
- Kipimo cha picha ya Tumbo
- Kipimo cha damu.
- Kipimo cha mkojo
- Matibabu hutolewa na mtoa Huduma wa Afya baada ya Maelezo na uchunguzi wa kina
NAMNA YA KUZUIA/KUJIKINGA
- Epuka utoaji mimba
- Tibu mapema magonjwa ya zinaa
- Chunguza/Pima Afya Mara kwa Mara.
- Wahi kituo cha Afya uonapo dalili kama hizi.
- Tumia Dozi kikamilifu
Kwa Maelezo na ushauri,Maswali andika hapa chini..
Kwa Maelezo zaidi wasiliana nasi kwa namba 0684127127-0743127127
WhatsApp :
Comments
Post a Comment