Skip to main content

Posts

Showing posts with the label LISHE

IFAHAMU ARGI PLUS (+) MAANA YAKE | KAZI ZAKE | FAIDA ZAKE | MATUMIZI YAKE

IFAHAMU ARGI PLUS (+) MAANA YAKE | KAZI ZAKE | FAIDA ZAKE | MATUMIZI YAKE FOREVER Argi+ ni bidhaa bora kabisa kutoka katika kampuni yetu ya Forever living products Ina L-arginine amino acid kwa kila kijiko kimoja cha Argi+ Ina Nitric oxide ambayo inasaidia kutanua mishipa ya damu hivyo kuruhusu damu kupita vizuri Ina viondosha sumu vya *POMOGRANATE* ambavyo ni muhimu sana ili kuondoa sumu mwilini Ina *Vitamin* *Complex* ambazo zinasaidia kujenga misuli FAIDA ZA KUTUMIA ARGI+ 1. Ni kirutubisho muhimu sana kutumiwa kila siku kwa ajiili ya kusaidia mifumo yote ya mwili ili kuupa mwili uwezo wa kufanya kazi vizui zaidi. 2. Inasaidia mfumo wa kinga ya mwili, kutokana na nitric oxide ambayo inatumiwa na chembechembe nyeupe za damu kuua bacteria. Hivyo kuupa mwili uwezo zaidi wa kupigana na magonjwa. 3. Inasaidia kurekebisha kiwango cha "blood pressure kiwe sahihi na afya ya mzunguko wa damu ya moyo kiujumla. 4. Inasaidia kutengenezwa kwa mifupa na mwili kiujumla hivyo ...

LISHE WAKATI WA UJAUZITO NA WAKATI WA KUNYONYESHA

LISHE WAKATI WA UJAUZITO NA WAKATI WA KUNYONYESHA. Kipindi chote cha Ujauzito na wakati wa kunyonyesha Mama anahitajika kupata chakula cha kutosha kwa ajili ya Kiumbe kilicho tumboni pamoja na mama mwenyewe. Mama anaye nyonyesha anahitaji mlo ulio sahihi kwa ajili ya kusaidia kupata maziwa ya kutosha kwa ajili ya mtoto na kukupa nguvu na virutubisho vyote muhimu mwilini. FAIDA ZA LISHE BORA • Husaidia kuongeza damu na kuzuia upungufu wa damu • Husaidia kuongeza uzito kulingana na umri wa mama na mtoto na kuzuia kupata Utapiamlo. • Huimalisha ukuaji wa mtoto kimwili na kiakili. • Husaidia kuzuia kupata mtoto mwenye uzito pungufu. • Humsaidia mama kuandaa  mwili na utengenezaji  wa maziwa ya kutosha wakati wa kunyonyesha. MAMBO YA KUZINGATIA. • Kabla ya kuweka chochote kinywani na baada ya kutumia choo nawa  mikono yako kwa maji safi na Salama na sabuni. • Anza kuhudhuria kliniki mapema baada ya kuhisi  ni mjamzito na mpeleke mtoto kliniki mapema kwa ajili y...