Skip to main content

Posts

Showing posts with the label KISUKARI

KIFAHAMU KISUKARI KIPINDI CHA UJAUZITO | CHANZO/SABABU | DALILI ZAKE | UCHUNGUZI | MATIBABU | NAMNA YA KUKIEPUKA.

KIFAHAMU KISUKARI KIPINDI CHA UJAUZITO | CHANZO / SABABU | DALILI ZAKE | UCHUNGUZI | MATIBABU | NAMNA YA KUKIEPUKA . KISUKARI Ni moja ya  kundi la magonjwa yanayohusiana na ufanyaji kazi wa mwili ambapo mtu anakuwa na kiwango kikubwa cha sukari aina ya glucose katika mwili kutokana na  mwili wake kukosa uwezo wa kutengeneza insulin ya kutosha au seli za mwili wake haziwezi kutumia insulin iliyopo VITU VINAVYOWEZA KUPELEKEA MTU KUPATA KISUKARI : ♦ Kuwahi kujifungua mtoto mwenye Uzito mkubwa 4000g (4kg) kwa mimba/Ujauzito uliopita. ♦ Kuwa na historia kwenye familia ya mtu mwenye kisukari/kuridhi. ♦ Kuwa unene au Uzito mkubwa kuliko kawaida. ♦ Kuwa na shinikizo la juu la damu (presha) ♦ Kuwa na Mafuta mengi | cholesterol ♦ Kuwa na kisukari aina ya kwanza au ya pili. AINA ZA KISUKARI : Kuna ainaTatu za kisukari KISUKARI AINA YA KWANZA | DIABETES TYPE 1     ♦ Ni aina ya kisukari ambacho mtu anazaliwa nacho/kuridhi kutoka ...