Skip to main content

VITU | MAMBO YANAYO CHANGIA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZIZO

VITU | MAMBO YANAYO CHANGIA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZIZO.

SABABU ZINAZO SABABISHA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA | KUBEBA UJAUZITO | MIMBA

Jinsia zote mbili zinaweza kuchangia Kushindwa kutunga kwa mimba

Mwanamke anaweza akawa amewahi kuzaa / kubeba ujauzito awali au Hajawahi kubeba Ujauzito na ikawa shida kushika ujauzito kwa sababu kadha wa kadha ambazo zinaweza kutoka kwa mwanamke au mwanamme.

MWANAMME ANAWEZA KUCHANGIA KIVIPI MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZITO

• Matatizo yaTezi dume
• Kutoa mbegu ambazo hazijakomaa
• Kutoa Mbegu chini ya kiwango (idadi)
• Upungufu wa nguvu za kiume
• Tatizo la msongo wa mawazo,kukosa usingizi,Kusafiri kwa safari ndefu Mara kwa Mara
• Kuzidisha Matumizi ya dawa
• Upungufu wa damu kwa muda mrefu

SABABU ZINAZOPELEKEA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZITO.

• Maambukizi kwenye via vya uzazi
• Uvimbe kwenye kwenye mirija ya uzazi
• Mirija ya uzazi Kujaa maji
• Kuwa mvurugiko wa homoni
• Umri zaidi ya miaka 35
• Kuwahi kukoma kwa hedhi
• Matatizo ya Goita
• Matatizo ya kukosa usingizi
• Matumizi ya virainishi wakati wa tendo
• Kuwa na Uzito mkubwa | unenebb
• Kufanyiwa unaohusu Mimba kutunga nje ya kizazi
• Kinga ya mwili kuwa chini,na magonjwa ya mfumo wa kinga ya mwili
• Kuzidisha Matumizi ya Dawa au sumu
• Uvutaji wa sigara
• Unywaji wa pombe
• Msongo mkali wa mawazo
• Tatizo la Upungufu wa damu.

UCHUNGUZI | MATIBABU.

• Uchunguzi wa homoni
• Upasuaji kuchukua kinyama kwenye uvimbe kwa ajili ya uchunguzi wa kimaabara kuangalia Tatizo
• Picha Tumbo kuangalia mfumo wa uzazi
• Kipimo cha damu
• Uchunguzi wa ovari
• Uchunguzi wa magonjwa ya mfumo wa kinga ya mwili (kuridhi)


MATIBABU

Matibabu yanahusisha vitu vifatavyo.
• Kutibu chanzo cha tatizo Kutokana na vipimo vilivyoonyesha
• Kurekebisha Mfumo wa homoni
• Upasuaji kuondoa Uvimbe uliopo
• Kubadili mfumo wa maisha

NAMNA YA KUPUNGUZA UWEZEKANO WA TATIZO KUTOKEA KWA KUFANYA YAFATAYO.

• Kuepuka unywaji wa pombe
• Epuka uvutaji wa sigara
• Epuka au punguza msongo wa mawazo
• Tibu mapema Matatizo au maambukizi ya via vya uzazi
• Kula lishe bora
• Rekebisha mzunguko wa homoni zake.
• Epuka magonjwa ya kuambizwa kwa ngono na Tibu mapema.

Kwa maswali,maoni,na ushauri usisite kutuandikia hapa chini.
Kwa Maelezo zaidi  na tiba wasiliana nasi kwa namba 0684127127-0743127127

Comments

Popular posts from this blog

IFAHAMU ARGI PLUS (+) MAANA YAKE | KAZI ZAKE | FAIDA ZAKE | MATUMIZI YAKE

IFAHAMU ARGI PLUS (+) MAANA YAKE | KAZI ZAKE | FAIDA ZAKE | MATUMIZI YAKE FOREVER Argi+ ni bidhaa bora kabisa kutoka katika kampuni yetu ya Forever living products Ina L-arginine amino acid kwa kila kijiko kimoja cha Argi+ Ina Nitric oxide ambayo inasaidia kutanua mishipa ya damu hivyo kuruhusu damu kupita vizuri Ina viondosha sumu vya *POMOGRANATE* ambavyo ni muhimu sana ili kuondoa sumu mwilini Ina *Vitamin* *Complex* ambazo zinasaidia kujenga misuli FAIDA ZA KUTUMIA ARGI+ 1. Ni kirutubisho muhimu sana kutumiwa kila siku kwa ajiili ya kusaidia mifumo yote ya mwili ili kuupa mwili uwezo wa kufanya kazi vizui zaidi. 2. Inasaidia mfumo wa kinga ya mwili, kutokana na nitric oxide ambayo inatumiwa na chembechembe nyeupe za damu kuua bacteria. Hivyo kuupa mwili uwezo zaidi wa kupigana na magonjwa. 3. Inasaidia kurekebisha kiwango cha "blood pressure kiwe sahihi na afya ya mzunguko wa damu ya moyo kiujumla. 4. Inasaidia kutengenezwa kwa mifupa na mwili kiujumla hivyo ...

ZIFAHAMU SABABU, DALILI, MATIBABU NA NAMNA YA KUZUIA TATIZO LA MIMBA ZABIBU | MOLAR PREGNANCY

ZIFAHAMU SABABU, DALILI, MATIBABU NA NAMNA YA KUZUIA TATIZO LA MIMBA ZABIBU | MOLAR PREGNANCY MIMBA ZABIBU: Ni uvimbe unaotokea baada ya mbegu ya kiume kurutubisha yai la kike kwenye mji wa mimba (uzazi). Uvimbe huu baada ya kutengenezwa huendelea kukua na kuongezeka ukubwa kama mimba ya kawaida. Baada ya muda flani huanza kuleta au kuonyesha dalili za mtu Mwenye mimba au mjamzito. Uvimbe huu umetengenezwa na Tishu au kuta za mji wa mimba au uzazi. Kwa kawaida hali hii au uvimbe huu unaweza ukawa saratani au usiwe saratani, awali huanza kawaida ila kwa baadae unaweza ukawa saratani (kansa). NAMNA INAVYOTOKEA | CHANZO | KISABABISHI. Kwa kawaida ili mimba itungwe lazima mbegu ya kiume ikutane na yai la kike, na pande zote mbili upande wa mbegu za kiume na wakike lazima kuwe na vinasaba. Kama yai la kike halina vinasaba hutengeneza mimba zabibu (molar pregnancy) inayojulikana kama partial molar pregnancy, uvimbe huu huendelea kuongezeka ukubwa kama fung...

ZIFAHAMU DALILI ZA HATARI KWA MAMA MJAMZITO

ZIFAHAMU DALILI ZA HATARI KWA MAMA MJAMZITO Mama mjamzito yuko kwenye hatari ya kupata matatizo mengi yeye na mwanae. Matatizo hayo kujitokeza kwa ishara au dalili tofauti tofauti kulingana na aina ya tatizo alilonalo Mama. DALILI HIZI ZA HATARI KIPINDI CHA UJAUZITO NI . • Kutokwa  na Damu ukeni • Maumivu makali ya Tumbo • Kuhisi kizungu zungu • Maumivu makali ya kichwa • Kutapika sana na kukosa hamu ya kula • Kushindwa kuona • Kupata degedege • Kupata homa kali • Mtoto kuacha kucheza | Kutokucheza siku nzima • Chupa kupasuka bila uchungu kuanza • Kutoa mkojo kidogo Mama mjamzito aonapo Dalili hizi anatakiwa kutoa taarifa haraka na kwenda kituo cha Afya kilicho karibu yake kwa. • Uchunguzi wa kina • Matibabu ya haraka VIPIMO VYA MUHIMU KIPIMA KIPINDI CHA UJAUZITO NI . • Kipimo cha Kaswende • Kipimo cha damu kuangalia wingi wa damu • Kipimo cha mkojo kuangalia wingi wa protini na maambukizi ya njia ya mkojo. • Kipimo cha damu kuangalia gr...