Skip to main content

VITU | MAMBO YANAYO CHANGIA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZIZO

VITU | MAMBO YANAYO CHANGIA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZIZO.

SABABU ZINAZO SABABISHA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA | KUBEBA UJAUZITO | MIMBA

Jinsia zote mbili zinaweza kuchangia Kushindwa kutunga kwa mimba

Mwanamke anaweza akawa amewahi kuzaa / kubeba ujauzito awali au Hajawahi kubeba Ujauzito na ikawa shida kushika ujauzito kwa sababu kadha wa kadha ambazo zinaweza kutoka kwa mwanamke au mwanamme.

MWANAMME ANAWEZA KUCHANGIA KIVIPI MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZITO

• Matatizo yaTezi dume
• Kutoa mbegu ambazo hazijakomaa
• Kutoa Mbegu chini ya kiwango (idadi)
• Upungufu wa nguvu za kiume
• Tatizo la msongo wa mawazo,kukosa usingizi,Kusafiri kwa safari ndefu Mara kwa Mara
• Kuzidisha Matumizi ya dawa
• Upungufu wa damu kwa muda mrefu

SABABU ZINAZOPELEKEA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZITO.

• Maambukizi kwenye via vya uzazi
• Uvimbe kwenye kwenye mirija ya uzazi
• Mirija ya uzazi Kujaa maji
• Kuwa mvurugiko wa homoni
• Umri zaidi ya miaka 35
• Kuwahi kukoma kwa hedhi
• Matatizo ya Goita
• Matatizo ya kukosa usingizi
• Matumizi ya virainishi wakati wa tendo
• Kuwa na Uzito mkubwa | unenebb
• Kufanyiwa unaohusu Mimba kutunga nje ya kizazi
• Kinga ya mwili kuwa chini,na magonjwa ya mfumo wa kinga ya mwili
• Kuzidisha Matumizi ya Dawa au sumu
• Uvutaji wa sigara
• Unywaji wa pombe
• Msongo mkali wa mawazo
• Tatizo la Upungufu wa damu.

UCHUNGUZI | MATIBABU.

• Uchunguzi wa homoni
• Upasuaji kuchukua kinyama kwenye uvimbe kwa ajili ya uchunguzi wa kimaabara kuangalia Tatizo
• Picha Tumbo kuangalia mfumo wa uzazi
• Kipimo cha damu
• Uchunguzi wa ovari
• Uchunguzi wa magonjwa ya mfumo wa kinga ya mwili (kuridhi)


MATIBABU

Matibabu yanahusisha vitu vifatavyo.
• Kutibu chanzo cha tatizo Kutokana na vipimo vilivyoonyesha
• Kurekebisha Mfumo wa homoni
• Upasuaji kuondoa Uvimbe uliopo
• Kubadili mfumo wa maisha

NAMNA YA KUPUNGUZA UWEZEKANO WA TATIZO KUTOKEA KWA KUFANYA YAFATAYO.

• Kuepuka unywaji wa pombe
• Epuka uvutaji wa sigara
• Epuka au punguza msongo wa mawazo
• Tibu mapema Matatizo au maambukizi ya via vya uzazi
• Kula lishe bora
• Rekebisha mzunguko wa homoni zake.
• Epuka magonjwa ya kuambizwa kwa ngono na Tibu mapema.

Kwa maswali,maoni,na ushauri usisite kutuandikia hapa chini.
Kwa Maelezo zaidi  na tiba wasiliana nasi kwa namba 0684127127-0743127127

Comments

Popular posts from this blog

ZIFAHAMU SABABU, DALILI, MATIBABU NA NAMNA YA KUZUIA TATIZO LA MIMBA ZABIBU | MOLAR PREGNANCY

ZIFAHAMU SABABU, DALILI, MATIBABU NA NAMNA YA KUZUIA TATIZO LA MIMBA ZABIBU | MOLAR PREGNANCY MIMBA ZABIBU: Ni uvimbe unaotokea baada ya mbegu ya kiume kurutubisha yai la kike kwenye mji wa mimba (uzazi). Uvimbe huu baada ya kutengenezwa huendelea kukua na kuongezeka ukubwa kama mimba ya kawaida. Baada ya muda flani huanza kuleta au kuonyesha dalili za mtu Mwenye mimba au mjamzito. Uvimbe huu umetengenezwa na Tishu au kuta za mji wa mimba au uzazi. Kwa kawaida hali hii au uvimbe huu unaweza ukawa saratani au usiwe saratani, awali huanza kawaida ila kwa baadae unaweza ukawa saratani (kansa). NAMNA INAVYOTOKEA | CHANZO | KISABABISHI. Kwa kawaida ili mimba itungwe lazima mbegu ya kiume ikutane na yai la kike, na pande zote mbili upande wa mbegu za kiume na wakike lazima kuwe na vinasaba. Kama yai la kike halina vinasaba hutengeneza mimba zabibu (molar pregnancy) inayojulikana kama partial molar pregnancy, uvimbe huu huendelea kuongezeka ukubwa kama fung...

Uhusiano kati ya kundi ya kundi la damu(blood group) na uchumba/Mimba/Ujauzito/ mtoto

Uhusiano kati ya kundi ya kundi la damu(blood group) na uchumba/Mimba/ Ujauzito / mtoto   1. Binadamu ana damu ambayo ina seli nyeupe, chembe sahani na sell nyekundu.. hizi seli nyekundu ndio zinabeba oksijeni na kabondayoksaidi na kimiminika chenyewe 2. Seli nyekundu zina protini inajishika ukutani mwake inaitwa antigen. kuna antigen A au B au seli inakuwa haina antigen      • Ambaye seli nyekundu zina antigen A, ana blood group A     • Ambaye seli nyekundu zina antigen B ana blood group B     • Ambaye seli zake zina Antigen A na B ana blood group AB      • Ambaye seli nyekundu hazina antigeni ana blood group O 3. katika seli hiyo hiyo nyekundu ikiwa na protini inayojishika katika ukuta wake, hii inaitwa D antigen maarufu kama Rh Factor  3.(a)     Mtu mwenye D antigen katika cell zake nyekundu, blood group yake inaandikwa na kuongezewa alama ya + mfano A+, B+, AB+ au O+ 3. ...

ALL BEAUTIFUL SCRUBS (SURGICAL GOWNS)  AND MEDICAL | LAB- COATS FOR MALE  AND FEMALE ARE AVAILABLE

GOOD NEWS TO YOU : ALL BEAUT IFUL SCRUBS (SURGICAL GOWNS)  AND LAB COATS FOR MALE  AND FEMALE ARE AVAILABLE TO US ,SO ITS YOUR TIME NOW TO CONTACT US FOR GOOD SERVICES 0THER EQUIPMENTS ARE LIKE STETHOSCOPE ♦ Littman class II ♦ Littman master class II ♦ Littman class III ♦ Dual head stethoscope ♦ Transparent Sprague Rappaport stethoscope ♦ MDF Stethoscope (Adult) ♦ MDF deluxe Infant and Neonate Stethoscope ♦ Stainless Steel stethoscope For Adult TAPE MEASURES of different in morden  types BP MACHINE ♦ Upper  arm automatic digital blood pressure monitor ♦ Wrist type automatic digital pressure monitor ♦ Upper arm automatic digital blood pressure monitor ♦ Aneroid sphygmomanometer -Palm Type Sphygmomanometer ♦ Palm Type Sphygmomanometer -Bokang Sphygmomanometer ♦ Splenger Blood pressure monitor -Riesta Blood pressure Monitor -Omrin Semi automatic blood pressure monitor REFLEX HUMMER ( PATELLA HUMMER) ♦ General reflex hummer  ♦ Fallow hummer...