MAAMBUKIZI YA FANGASI KIPINDI CHA UJAUZITO | KIFAHAMU CHANZO | CHANZO | DALILI | UCHUNGUZI | MATIBABU | NAMNA YA KUJIKINGA.
MAAMBUKIZI YA FANGASI KIPINDI CHA UJAUZITO | KIFAHAMU CHANZO | CHANZO | DALILI | UCHUNGUZI | MATIBABU | NAMNA YA KUJIKINGA.
FANGASI Ni maambukizi yanayoweza Jittokeza sehemu yoyote ya mwili.
Kuna aina kadha wa kadha ya fangasi na majina hutegemea na sehemu ya mwili walipo.
FANGASI WA UKENI - KIPINDI CHA UJAUZITO
Hawa ni moja ya fangasi ambao husumbua na hujitokeza kwa Wajawazito au kipindi cha Ujauzito na hushambulia sehemu ya uke.
Fangasi ambao hushambulia kipindi cha ujauzito wanajulikana kwa jina la candida albicans
Kipindi cha Ujauzito kuna mabdiliko ya Homoni ambazo kupelekea kubadilika kwa uasidi na ualikali (PH) ya Uke, na kuruhusu fangasi kuota kirahisi.
Kipindi cha ujauzito homoni aina ya estrojeni(estrogen) inakuwa nyingi kuliko zingine na kufanya mazingira rafiki kwa fangasi kuota.
Kuna sababu kadha wa kadha ambazo zinapelekea mjamzito kupata fangasi Mara kwa Mara .
CHANZO | SABABU
• Matumizi ya Dawa aina ya antibiotics Mara kwa Mara na kwa muda mrefu.
• Kuosha uke kwa maji na sabuni Mara kwa Mara (douching)
• Mabadiliko ya homoni kipindi cha ujauzito
• Matumizi ya vitu kama pafyumu au malashi, losheni kwenye uke.
• Kuosha uke kwa maji na sabuni Mara kwa Mara (douching)
• Mabadiliko ya homoni kipindi cha ujauzito
• Matumizi ya vitu kama pafyumu au malashi, losheni kwenye uke.
DALILI
• Kuwasha ukeni
• Kutokwa na uchafu mweupe mzito kama maziwa mgando usio na harufu.
• Kuhisi Maumivu wakati wa kujamiana
• Kusikia maumivu kama vidonda wakati wa kujisaidia haja kubwa.
• Kutokwa na uchafu mweupe mzito kama maziwa mgando usio na harufu.
• Kuhisi Maumivu wakati wa kujamiana
• Kusikia maumivu kama vidonda wakati wa kujisaidia haja kubwa.
MADHARA YA FANGASI KWA MTOTO
• Mtoto kudumaa tumboni
• Mtoto kufia tumboni
• Matatizo ya kupumua
• Mtoto njiti
• Mtoto kuzaliwa na kilo ndogo
• Mtoto Wakati wa kuzaliwa anaweza kupata maambukizi ya fangasi na kuadhili Afya yake na ukuaji wake.
UCHUNGUZI NA MATIBABU NA NAMNA YA KUJIKINGA
• Mtoto kufia tumboni
• Matatizo ya kupumua
• Mtoto njiti
• Mtoto kuzaliwa na kilo ndogo
• Mtoto Wakati wa kuzaliwa anaweza kupata maambukizi ya fangasi na kuadhili Afya yake na ukuaji wake.
UCHUNGUZI NA MATIBABU NA NAMNA YA KUJIKINGA
• Mjamzito mewnye dalili kama hizi anashauriwa kufanyiwa vipimo vya maabara
• Mjamzito baada ya kuchunguzwa na kubainika anatatizo hilo anapewa dawa za kupachika ukeni.
• Epuka kuosha uke kwa maji na sabuni Mara kwa Mara.
• Safisha uke kwa kitambaa safi na kikavu.
• Tibu tatizo mapema kabla halijawa kubwa.
• Epuka Matumizi ya pafyumu, lotioni ukeni.
• Epuka Matumizi ya dawa bila ushauri wa daktari.
• Tumia nguo za ndani aina ya pamba
• Jisafishe kutoka mbele kwenda nyuma baada ya kujisaidia haja kubwa.
• Epuka nguo za kubana.
• Safisha uke kwa kitambaa safi na kikavu.
• Tibu tatizo mapema kabla halijawa kubwa.
• Epuka Matumizi ya pafyumu, lotioni ukeni.
• Epuka Matumizi ya dawa bila ushauri wa daktari.
• Tumia nguo za ndani aina ya pamba
• Jisafishe kutoka mbele kwenda nyuma baada ya kujisaidia haja kubwa.
• Epuka nguo za kubana.
Comments
Post a Comment