Skip to main content

NJIA YA MPANGO YA LUPU (KITANZI)

NJIA YA UZAZI WW MPANGO YA LUPU | KITANZI

LUPU (VITANZINi moja ya njia ya uzazi wa mpango inayotumiwa na wanawake wengi kwa lengo la kuzuia kupata mimba au kupanga uzazi
Kifaa  hiki kimetengenezwa kwa kutumia kopa kina kama vijitawi kwa mbele

Kifaa hiki kimetengenezwa na kuwekewa homoni ya Aina ya progestin ambayo inafanana  sana na homoni aliyonayo mwanamke.
LUPU kina mkinga mwanamke asipate mimba kwa miaka 12.

JINSI GANI NJIA HII INAFANYA KAZI..
• Kina mkinga asipate mimba kwa muda wa miaka 12 kwa. 
• Kutoruhusu mbegu za kiume kutofika kwenye mirija ya uzazi
• Huzuia urutubishaji wa yai la kike  kama zikifanikiwa kuingia kwenye mji wa mimba
• Huzuia mbegu kuingia kwenye mji wa mimba kwenda kurutubisha yai la kike

FAIDA ZA NJIA HII..
• Inazui mimba zisizo na mpangilio 
• Ni salama kwa mtumiaji
• Haisumbui kutoa na kuweka kwa mtumiaji 
• Haichukui muda mrefu kurudi kwenye Hali ya kawaida na kupata mtoto. Wachache ndo huchelewa.
• Haisumbui kwatai wa tendo la ndoa
• Ni njia ya muda mrefu.

MAUDHI MADOGO MADOGO YA NJIA HII..
• Hedhi kubadilika
• Maumivu ya Tumbo
• Damu Kutoka wakati wa kiwekewa au kutotoka 
• Kukosa hedhi
• Mwanamke hushauriwa kurudi kituo cha afya ka maudhi yataendelea kwa muda mrefu.

MTU YUPI ANASHAURIWA KUTUMIA NJIA HII.
Anatumia  mtu yeyote
• Awe ananyonyesha au ametoka kujifungua anaruhusiwa kutumia.
• Baada ya mimba kuharibika
•  Awe ameolewa au hajaolewa 
• Kazaa au bado kupata mtoto
•  Mwenye maambukizi ya virusi vya Ukimwi anatumia 
• Mtu mwenye Shindikizo kubwa la damu.

WATU WACHACHE HUWEZA KUPATA SHIDA HIZI  JAPO SIO WOTE  BAADAYA KUTUMIA NJIA HII.
Mji wa mimba kuvimba 
• Mimba kutunga nje ya kizazi
• Kuchukua muda mrefu kupata ujauzito

Comments

Popular posts from this blog

ZIFAHAMU SABABU, DALILI, MATIBABU NA NAMNA YA KUZUIA TATIZO LA MIMBA ZABIBU | MOLAR PREGNANCY

ZIFAHAMU SABABU, DALILI, MATIBABU NA NAMNA YA KUZUIA TATIZO LA MIMBA ZABIBU | MOLAR PREGNANCY MIMBA ZABIBU: Ni uvimbe unaotokea baada ya mbegu ya kiume kurutubisha yai la kike kwenye mji wa mimba (uzazi). Uvimbe huu baada ya kutengenezwa huendelea kukua na kuongezeka ukubwa kama mimba ya kawaida. Baada ya muda flani huanza kuleta au kuonyesha dalili za mtu Mwenye mimba au mjamzito. Uvimbe huu umetengenezwa na Tishu au kuta za mji wa mimba au uzazi. Kwa kawaida hali hii au uvimbe huu unaweza ukawa saratani au usiwe saratani, awali huanza kawaida ila kwa baadae unaweza ukawa saratani (kansa). NAMNA INAVYOTOKEA | CHANZO | KISABABISHI. Kwa kawaida ili mimba itungwe lazima mbegu ya kiume ikutane na yai la kike, na pande zote mbili upande wa mbegu za kiume na wakike lazima kuwe na vinasaba. Kama yai la kike halina vinasaba hutengeneza mimba zabibu (molar pregnancy) inayojulikana kama partial molar pregnancy, uvimbe huu huendelea kuongezeka ukubwa kama fung...

Uhusiano kati ya kundi ya kundi la damu(blood group) na uchumba/Mimba/Ujauzito/ mtoto

Uhusiano kati ya kundi ya kundi la damu(blood group) na uchumba/Mimba/ Ujauzito / mtoto   1. Binadamu ana damu ambayo ina seli nyeupe, chembe sahani na sell nyekundu.. hizi seli nyekundu ndio zinabeba oksijeni na kabondayoksaidi na kimiminika chenyewe 2. Seli nyekundu zina protini inajishika ukutani mwake inaitwa antigen. kuna antigen A au B au seli inakuwa haina antigen      • Ambaye seli nyekundu zina antigen A, ana blood group A     • Ambaye seli nyekundu zina antigen B ana blood group B     • Ambaye seli zake zina Antigen A na B ana blood group AB      • Ambaye seli nyekundu hazina antigeni ana blood group O 3. katika seli hiyo hiyo nyekundu ikiwa na protini inayojishika katika ukuta wake, hii inaitwa D antigen maarufu kama Rh Factor  3.(a)     Mtu mwenye D antigen katika cell zake nyekundu, blood group yake inaandikwa na kuongezewa alama ya + mfano A+, B+, AB+ au O+ 3. ...

HATUA ZA UKUAJI WA MTOTO AKIWA TUMBONI

Je wewe ni mjamzito na unatamani kufahama Hatua ya ukuaji wa mtoto wako aliyeko tumboni ?? Hizi ndio Hatua za ukuaji wa mwanao akiwa tumboni. Hatua za ukuaji wa mtoto tumboni WIKI YA (1- 4). √  Yai la kike linarutubishwa na mbegu za kiume. √  Kijusi kinaanza kujitengeza (Umba) √  Mishipa ya damu,Tumbo,Ini, n.k vinatengenzwa WIKI YA (5 - 8). Viungo Muhimu vinatengenzwa na kukomaa √  Ubongo √  Moyo √  Uti wa Mgongo √  Macho,masikio,mdomo na pua. √  Miguu, mikono, vidole na kucha WIKI YA (9-12). √  Shingo huanza kujitengenza. √  Kope za macho hujitengeneza. √  Katika kipindi hiki mtoto anafikia urefu wa inchi 2.5 Kumb .... Uhitaji mwingi wa madini ya chuma kwa mtoto. WIKI YA (13-17). √  Miguu na mikono inakamilika √  Shingo inakamilika katika kipindi hiki. √  Mifupa inaanza kukomaa WIKI YA (18-22). √  Mtoto anaweza  Kusikia sauti za mama yake. √  Mtoto anaanza kucheza tumboni. ...