Skip to main content

NJIA YA MPANGO YA LUPU (KITANZI)

NJIA YA UZAZI WW MPANGO YA LUPU | KITANZI

LUPU (VITANZINi moja ya njia ya uzazi wa mpango inayotumiwa na wanawake wengi kwa lengo la kuzuia kupata mimba au kupanga uzazi
Kifaa  hiki kimetengenezwa kwa kutumia kopa kina kama vijitawi kwa mbele

Kifaa hiki kimetengenezwa na kuwekewa homoni ya Aina ya progestin ambayo inafanana  sana na homoni aliyonayo mwanamke.
LUPU kina mkinga mwanamke asipate mimba kwa miaka 12.

JINSI GANI NJIA HII INAFANYA KAZI..
• Kina mkinga asipate mimba kwa muda wa miaka 12 kwa. 
• Kutoruhusu mbegu za kiume kutofika kwenye mirija ya uzazi
• Huzuia urutubishaji wa yai la kike  kama zikifanikiwa kuingia kwenye mji wa mimba
• Huzuia mbegu kuingia kwenye mji wa mimba kwenda kurutubisha yai la kike

FAIDA ZA NJIA HII..
• Inazui mimba zisizo na mpangilio 
• Ni salama kwa mtumiaji
• Haisumbui kutoa na kuweka kwa mtumiaji 
• Haichukui muda mrefu kurudi kwenye Hali ya kawaida na kupata mtoto. Wachache ndo huchelewa.
• Haisumbui kwatai wa tendo la ndoa
• Ni njia ya muda mrefu.

MAUDHI MADOGO MADOGO YA NJIA HII..
• Hedhi kubadilika
• Maumivu ya Tumbo
• Damu Kutoka wakati wa kiwekewa au kutotoka 
• Kukosa hedhi
• Mwanamke hushauriwa kurudi kituo cha afya ka maudhi yataendelea kwa muda mrefu.

MTU YUPI ANASHAURIWA KUTUMIA NJIA HII.
Anatumia  mtu yeyote
• Awe ananyonyesha au ametoka kujifungua anaruhusiwa kutumia.
• Baada ya mimba kuharibika
•  Awe ameolewa au hajaolewa 
• Kazaa au bado kupata mtoto
•  Mwenye maambukizi ya virusi vya Ukimwi anatumia 
• Mtu mwenye Shindikizo kubwa la damu.

WATU WACHACHE HUWEZA KUPATA SHIDA HIZI  JAPO SIO WOTE  BAADAYA KUTUMIA NJIA HII.
Mji wa mimba kuvimba 
• Mimba kutunga nje ya kizazi
• Kuchukua muda mrefu kupata ujauzito

Comments

Popular posts from this blog

IFAHAMU ARGI PLUS (+) MAANA YAKE | KAZI ZAKE | FAIDA ZAKE | MATUMIZI YAKE

IFAHAMU ARGI PLUS (+) MAANA YAKE | KAZI ZAKE | FAIDA ZAKE | MATUMIZI YAKE FOREVER Argi+ ni bidhaa bora kabisa kutoka katika kampuni yetu ya Forever living products Ina L-arginine amino acid kwa kila kijiko kimoja cha Argi+ Ina Nitric oxide ambayo inasaidia kutanua mishipa ya damu hivyo kuruhusu damu kupita vizuri Ina viondosha sumu vya *POMOGRANATE* ambavyo ni muhimu sana ili kuondoa sumu mwilini Ina *Vitamin* *Complex* ambazo zinasaidia kujenga misuli FAIDA ZA KUTUMIA ARGI+ 1. Ni kirutubisho muhimu sana kutumiwa kila siku kwa ajiili ya kusaidia mifumo yote ya mwili ili kuupa mwili uwezo wa kufanya kazi vizui zaidi. 2. Inasaidia mfumo wa kinga ya mwili, kutokana na nitric oxide ambayo inatumiwa na chembechembe nyeupe za damu kuua bacteria. Hivyo kuupa mwili uwezo zaidi wa kupigana na magonjwa. 3. Inasaidia kurekebisha kiwango cha "blood pressure kiwe sahihi na afya ya mzunguko wa damu ya moyo kiujumla. 4. Inasaidia kutengenezwa kwa mifupa na mwili kiujumla hivyo ...

Tatizo la Kutokwa na uteute /Uchafu au majimaji kwenye uke

VAGINAL DISCHARGE. (Kutokwa na uteute /Uchafu au majimaji kwenye uke) Miongoni mwa masomo ambayo tulijifunza huko nyuma ni juu ya umuhimu wa kutokwa na uteute au majimaji kwenye uke,somo liliwafungua wengi maana wengi walikuwa wakiona wanatokwa na ute bila kujua kazi yake au unaashiria nini. Mmbali na umuhimu wa uteute au majimaji yanayotoka kwenye uke, kumekuwa na maswali mengi na yanayoongozana kuhusu aina ya uteute unatoka kwenye uke, jambo ambalo limeonesha kuwapa hofu wengi juu ya afya zao pindi wauonapo ute ukiwatoka je kutokwa na uteute ni kawaida? Ndio,Tezi ndani ya uke wako na njia ya uzazi huzalisha kiasi kidogo cha majimaji ambacho hutuka kupitia uke kila siku, huku kikiwa kimebeba seli za zamani ambazo hazina kazi mwilini na kuzitoa kama uchafu, Hiyo ni njia ya kuufanya uke wake kuwa msafi na kulinda afya yake, ute huo unatoka huwa ni msafi wenye kuonekana vizuri au mfanano wa maziwa maziwa na hautoi harufu mbaya. (Uke kwa kawaida hautakiwi kuwa mkamvu, na tulishajifun...

ZIFAHAMU SABABU, DALILI, MATIBABU NA NAMNA YA KUZUIA TATIZO LA MIMBA ZABIBU | MOLAR PREGNANCY

ZIFAHAMU SABABU, DALILI, MATIBABU NA NAMNA YA KUZUIA TATIZO LA MIMBA ZABIBU | MOLAR PREGNANCY MIMBA ZABIBU: Ni uvimbe unaotokea baada ya mbegu ya kiume kurutubisha yai la kike kwenye mji wa mimba (uzazi). Uvimbe huu baada ya kutengenezwa huendelea kukua na kuongezeka ukubwa kama mimba ya kawaida. Baada ya muda flani huanza kuleta au kuonyesha dalili za mtu Mwenye mimba au mjamzito. Uvimbe huu umetengenezwa na Tishu au kuta za mji wa mimba au uzazi. Kwa kawaida hali hii au uvimbe huu unaweza ukawa saratani au usiwe saratani, awali huanza kawaida ila kwa baadae unaweza ukawa saratani (kansa). NAMNA INAVYOTOKEA | CHANZO | KISABABISHI. Kwa kawaida ili mimba itungwe lazima mbegu ya kiume ikutane na yai la kike, na pande zote mbili upande wa mbegu za kiume na wakike lazima kuwe na vinasaba. Kama yai la kike halina vinasaba hutengeneza mimba zabibu (molar pregnancy) inayojulikana kama partial molar pregnancy, uvimbe huu huendelea kuongezeka ukubwa kama fung...