Skip to main content

MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KIPINDI CHOTE CHA UJAUZITO

Mama mjamzito ni muhimu kuzingatia vitu vifatavyo ili kuepuka Madhara ya kiafya kwa Mama na mtoto.


1.Punguza matumizi ya vyakula vyenye “caffeine” Kama vile chai, kahawa na soda za cola huweza kusababisha mimba kuharibika au kutoka. 

2. Kula vizuri chakula chenye mlo kamili na aina mbalimbali za matundaili kujenga afya yako na ya mtoto.

3.Pata muda wa kutosha wa kupumzika ili kutuliza mwili na akilikwa afya yako na ya mtoto.

4.Fanya mazoezi madogo madogo ya viungokama kutembea, kuogelea na yoga mara kwa mara

5.Kunywa dawa za kuongeza vitamini mwilini“Pregnancy vitamin” endapo huna uwezo wa kula chakula chenye mlo kamili lakini isiwe mbadala wa chakula

6.Acha kuvuta sigara kama ni mtumiajikwani husababisha madhara kwako na pia mimba kutoka, kuzaa mtoto kabla ya siku kutimia na mtoto kufariki akiwa tumboni.

Acha kunywa pombe
      Mjazito anapotumia pombe kwani humfikia mtoto kupitia mirija ya damu na kondo la nyama ( placenta) na kuadhili ukuaji wa mtoto tumboni.

8.Baada ya kugundua tu una mimba muone mkungakwaajili ya maelekezo na ratiba ya jinsi ya kuhudhuria kliniki.

9.Kuwa makini na aina ya chakulakwani kuna vyakula vina aina ya bacteria ambao husababisha madhara kwa mtoto, fata ushauri wa daktari kuhusu chakula sahihi.

10. Baada ya miezi mitano (5) ya ujauzito na kuendelea usivae nguo za kubana kama vile suruali na pia usibane mkanda wa kiunoni ili mtoto apa

Comments

Popular posts from this blog

ZIFAHAMU SABABU, DALILI, MATIBABU NA NAMNA YA KUZUIA TATIZO LA MIMBA ZABIBU | MOLAR PREGNANCY

ZIFAHAMU SABABU, DALILI, MATIBABU NA NAMNA YA KUZUIA TATIZO LA MIMBA ZABIBU | MOLAR PREGNANCY MIMBA ZABIBU: Ni uvimbe unaotokea baada ya mbegu ya kiume kurutubisha yai la kike kwenye mji wa mimba (uzazi). Uvimbe huu baada ya kutengenezwa huendelea kukua na kuongezeka ukubwa kama mimba ya kawaida. Baada ya muda flani huanza kuleta au kuonyesha dalili za mtu Mwenye mimba au mjamzito. Uvimbe huu umetengenezwa na Tishu au kuta za mji wa mimba au uzazi. Kwa kawaida hali hii au uvimbe huu unaweza ukawa saratani au usiwe saratani, awali huanza kawaida ila kwa baadae unaweza ukawa saratani (kansa). NAMNA INAVYOTOKEA | CHANZO | KISABABISHI. Kwa kawaida ili mimba itungwe lazima mbegu ya kiume ikutane na yai la kike, na pande zote mbili upande wa mbegu za kiume na wakike lazima kuwe na vinasaba. Kama yai la kike halina vinasaba hutengeneza mimba zabibu (molar pregnancy) inayojulikana kama partial molar pregnancy, uvimbe huu huendelea kuongezeka ukubwa kama fung...

Uhusiano kati ya kundi ya kundi la damu(blood group) na uchumba/Mimba/Ujauzito/ mtoto

Uhusiano kati ya kundi ya kundi la damu(blood group) na uchumba/Mimba/ Ujauzito / mtoto   1. Binadamu ana damu ambayo ina seli nyeupe, chembe sahani na sell nyekundu.. hizi seli nyekundu ndio zinabeba oksijeni na kabondayoksaidi na kimiminika chenyewe 2. Seli nyekundu zina protini inajishika ukutani mwake inaitwa antigen. kuna antigen A au B au seli inakuwa haina antigen      • Ambaye seli nyekundu zina antigen A, ana blood group A     • Ambaye seli nyekundu zina antigen B ana blood group B     • Ambaye seli zake zina Antigen A na B ana blood group AB      • Ambaye seli nyekundu hazina antigeni ana blood group O 3. katika seli hiyo hiyo nyekundu ikiwa na protini inayojishika katika ukuta wake, hii inaitwa D antigen maarufu kama Rh Factor  3.(a)     Mtu mwenye D antigen katika cell zake nyekundu, blood group yake inaandikwa na kuongezewa alama ya + mfano A+, B+, AB+ au O+ 3. ...

ALL BEAUTIFUL SCRUBS (SURGICAL GOWNS)  AND MEDICAL | LAB- COATS FOR MALE  AND FEMALE ARE AVAILABLE

GOOD NEWS TO YOU : ALL BEAUT IFUL SCRUBS (SURGICAL GOWNS)  AND LAB COATS FOR MALE  AND FEMALE ARE AVAILABLE TO US ,SO ITS YOUR TIME NOW TO CONTACT US FOR GOOD SERVICES 0THER EQUIPMENTS ARE LIKE STETHOSCOPE ♦ Littman class II ♦ Littman master class II ♦ Littman class III ♦ Dual head stethoscope ♦ Transparent Sprague Rappaport stethoscope ♦ MDF Stethoscope (Adult) ♦ MDF deluxe Infant and Neonate Stethoscope ♦ Stainless Steel stethoscope For Adult TAPE MEASURES of different in morden  types BP MACHINE ♦ Upper  arm automatic digital blood pressure monitor ♦ Wrist type automatic digital pressure monitor ♦ Upper arm automatic digital blood pressure monitor ♦ Aneroid sphygmomanometer -Palm Type Sphygmomanometer ♦ Palm Type Sphygmomanometer -Bokang Sphygmomanometer ♦ Splenger Blood pressure monitor -Riesta Blood pressure Monitor -Omrin Semi automatic blood pressure monitor REFLEX HUMMER ( PATELLA HUMMER) ♦ General reflex hummer  ♦ Fallow hummer...